Ta Ha 20:93 الا تتبعن افعصيت امري ٩٣
أَلَّا
تَتَّبِعَنِۖ
أَفَعَصَيۡتَ
أَمۡرِي
٩٣
Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu?
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
usinifuate ukawa na mimi na ukawaacha? Je, umeasi amri yangu niliyokuamrisha kwayo ya kushika mahali pangu na kutengeneza baada ya mimi kuondoka?